Tuesday 14 May 2013

Kibarua cha kocha Roberto Mancini wa Manchester City chaota nyasi


Kibarua cha aliyekuwa kocha wa Manchester City kimeota nyasi baada ya kocha huyu kushindwa kuifikisha timu katika malengo iliyojiwekea.Kocha huyu amefukuzwa kazi baada ya zaidi ya miaka mitatu na nusu ya utumishi wake katika timu ya Manchester City.

CHANZO: bbc

No comments:

Post a Comment

PALM TREES ARE BEAUTIFUL

Minazi huleta mandhari nzuri ya kuvutia, haijalishi ni sehemu gani imemea. Palm trees are always beautiful, it doesn´t matter where they are...