Thursday 16 May 2013

MAYAI FEKI YASAMBAA DAR ES SALAAM

Yanatoka nchi jirani, yatengenezwa kwa umemeMakala na Denis Mtima na Chande Abdallah

Ripoti ya Wiki hii imegundua kuwa asilimia kubwa ya mayai yanayotumiwa na wananchi wengi kwa sasa ni feki  na yanauzwa kinyemela ndani ya Jiji la Dar.

Baada ya kupigwa vita na serikali miezi michache iliyopita, imebainika kuwa bado yamezagaa na watu wanaotajwa kuyatumia kwa kiasi kikubwa ni wauza chipsi mitaani.

Mayai hayo ambayo hayatofautiani na mayai ya kuku wa kizungu yaliyozoeleka kwa kuwa na muonekano wa rangi nyeupe sana, imebainika kuwa yanatengenezwa kwa kutumia mashine maalum za umeme.
Kwa habari kamili ingia
http://www.globalpublishers.info/

No comments:

Post a Comment

PALM TREES ARE BEAUTIFUL

Minazi huleta mandhari nzuri ya kuvutia, haijalishi ni sehemu gani imemea. Palm trees are always beautiful, it doesn´t matter where they are...