Wednesday 1 May 2013

SHEREHE ZA SIKUKUU YA WAFANYAKAZI ZAFANA MKOANI MBEYA


Rais Jakaya Kikwete ndiye alikuwa mgeni rasmi wa sherehe za suku ya wafanyakazi ambayo kitaifa ilifanyika mkoani Mbeya


Rais Jakaya Kikwete akiwahutubia wafanyakazi






Kivutio kilikuwa ujumbe mbalimbali kwenye mabango


Mashirika walionyesha huduma zao.Huu ni mfuko wa penseni wa watumishi wa umma

Skauti nao walikuwepo
 PICHA kwa hisani ya Mbeya yetu blog

No comments:

Post a Comment

PALM TREES ARE BEAUTIFUL

Minazi huleta mandhari nzuri ya kuvutia, haijalishi ni sehemu gani imemea. Palm trees are always beautiful, it doesn´t matter where they are...