Anaitwa Paula mtoto wa mama mwenye talent na baba mwenye talent, je vipi kuhusu mtoto?Ni dhahiri hawezi kukosa kuwa na kipaji na yeye pia. Baba yake ni famous producer P Funk na mama yake ni mmoja kati ya waigizaji wazuri wa bongo(Kajala).Swali la kizushi, je Paula atafuata music kama baba au movie kama mama?


![]() |
Paula akiwa na baba yake producer PFunk |
No comments:
Post a Comment