Maisha yamepanda siku hizi..inabidi tutafute vitafunwa vingine kwa ajili ya chai. Kawaida ushuani wanatumia mikate asubuhi na vitu vingine. Lakini kwetu uswazi ni maandazi,vitumbua na kalimati. Sasa ushauri aliutoa Masanja Mkandamizaji ni kuwa wabunifu kutumia vitafunwa tofauti kama hivyo kwenye picha hapo chini.
No comments:
Post a Comment