Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Spika wa Bunge, Anne Makinda baada ya kuashirishwa kwa kikao cha Bunge Mjini Dodoma Juni 28, 2013. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)Spika wa Bunge Mama Anne Makinda akizungumza na mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma Juni 28,2013. (Picha na Ofisi ya Wairi Mkuu)Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Mkewe Tunu wakizungumza na Spika wa Bunge Mama Anne Makinda (katikati) kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma Juni 28,2013. (Picha na Ofisi ya Wairi Mkuu)Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akipongezwa na mkewe Tunu kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma Juni 28,2013 baada ya hotuba yake ya kuahirisha kikao cha Bunge Mjini Dodoma . (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
No comments:
Post a Comment