Wednesday 10 July 2013

KODI YA NYUMBA KWAHERIII,TUMIA AIRTEL YATOSHA UJISHINDIE


Huu ndo mjumba wa kifahari utakaoshinda kupitia droo ya mwisho wa mwezi Hii ni sehemu ya mbele ya Nyumba mojawapo ya AIRTEL YATOSHA Nyumba hizi zimejengwa kwa mpangilio maalum na wataalam kutoka shirika makini la nyumba Tanzania (National Housing Corporation) Mahali iliko ni Kigamboni Kibada wilaya ya Temeke General View ukiwa maeneo ya nyumba iliko Vitu vizuri unavyoweza kuviona ukiwa nyumbani kwako endapo utaibuka mshindi ni pamoja na Uwanja wa Taifa, uwanja wa ndege na utaweza kujione vizuri vikwangua anga vya jijini dar es salaam kama vile PPF Tower, Uhuru height, Jubilee Tower, Serena Hotel n.k Jiunge na kifurishi cha Airtel Yatosha SIKU, WIKI au MWEZI kwa kupiga *149*99# na chagua kifurushi kitakachokufaa ili uwe mmoja wa washindi watakaofaidika na nyumba hizi.
Nyumba zote Tatu zinavyumba vitatu vyakulala, Sebule, Jiko na Public toilet na Garden nzuriiiii/ kaliiiiii...... Mwishoni mwa waki wadau wa vyombo vya habari na baadhi ya Blog watatemebelea eneo hili kukujulisaha mambo mazuri zaidi

No comments:

Post a Comment

PALM TREES ARE BEAUTIFUL

Minazi huleta mandhari nzuri ya kuvutia, haijalishi ni sehemu gani imemea. Palm trees are always beautiful, it doesn´t matter where they are...