Je,uzuri wa sebule ni kuwa na fenicha nyingi sebuleni au chache?Kwangu mimi napenda kuwa na vitu vichache katika mpangilio mzuri.Kuna wanaopenda sebule kubwa sana, kuna wanaopenda za ukubwa wa kati na wengine wanapenda sebule ndogo.Kila mtu na chaguo lake ila kikubwa nikuwa na fenicha zinazokidhi.Hebu tuangalie mipangilio tofauti:
No comments:
Post a Comment