Monday 30 December 2013
BREAKING NEWS: RAIS JAKAYA KIKWETE AMTEUA KAMANDA ERNEST MANGU KUWA MKUU MPYA WA JESHI LA POLISI TANZANIA
Mkuu mpya wa jeshi la polisi Tanzania,Kamanda Ernest Mangu pichani
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Kikwete amemteua kamanda Ernest Mangu kuwa mkuu mpya wa jeshi la polisi Tanzania. Kamanda Mangu anachukua nafasi ya Inspekta jenerali Said Mwema ambaye anastaafu.
Uteuzi wa kamanda Mangu unaanzia januari 1 2014.
CHANZO: ITV
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
PALM TREES ARE BEAUTIFUL
Minazi huleta mandhari nzuri ya kuvutia, haijalishi ni sehemu gani imemea. Palm trees are always beautiful, it doesn´t matter where they are...
-
Dar es Salaam: Mwekezaji Sheikh Salim Abdullah ametangaza kuwekeza kwenye Uwanja Wa Ndege wa Kimataifa wa JK Nyerere Dar es Salaam (JN...
No comments:
Post a Comment