Kwenye akaunti yake ya instagram aunty ameandika hivi:
Amin ktk Mungu ndio Mwisho wa Matatizo yote yaliyotuzunguka
Hakuna mganga wala Mchawi pasipo Mungu.Ahsante Mungu wang kwa kunikabidhi
zawadi yang Asubuhi jana tar 21-05-2015 Muache yy atende kwani ndio nguzo yetu
sote Nasema Ahsante tena Ahsante kwa zawadi hii kubwa ktk Maisha kwani ilikuwa
ni kipindi kigumu chenye majaribu ya kila aina kupitia binaadamu wajizaniao wao
ni miungu watu Bac endelea kunyoosha mkono wako ktk paji la kiumbe wako ukiwa
kama kinga nami niwe kivuli tuu juu yake Amen Whn Jesus Say Yes Ni body can Say
wht!!!!!!!Wlcm Baby Cookie wlcm 2 da world KIBOKO.
HONGERA SANA AUNTY KWA KUPATA BABY GIRL.
No comments:
Post a Comment