Tusifanya vitu kwa mazoea bali tufanye vitu kulingana na
matakwa yetu.
Kupenda kuishi
maisha kama anayoishi mtu fulani si kosa
ila kosa ni wewe kutaka kuwa kama huyo mtu!Kwa kufanya hivi utakuwa
unajidanganya wewe mwenyewe na kujiumiza bure. Siku zote jaribu kuishi kama
wewe kwa kufanya vitu unavyovipenda wewe!Kwa kufanya hivi utakuwa na raha na
amani siku zote kwani utakuwa unaishi katika uhalisia bila ya magumashi!
No comments:
Post a Comment