Saturday 4 July 2015

UJUMBE WA LEO:ISHI KATIKA UHALISIA



Tusifanya vitu kwa mazoea bali tufanye vitu kulingana na matakwa yetu.

Kupenda  kuishi maisha kama anayoishi mtu  fulani si kosa ila kosa ni wewe kutaka kuwa kama huyo mtu!Kwa kufanya hivi utakuwa unajidanganya wewe mwenyewe na kujiumiza bure. Siku zote jaribu kuishi kama wewe kwa kufanya vitu unavyovipenda wewe!Kwa kufanya hivi utakuwa na raha na amani siku zote kwani utakuwa unaishi katika uhalisia bila ya magumashi!

No comments:

Post a Comment

PALM TREES ARE BEAUTIFUL

Minazi huleta mandhari nzuri ya kuvutia, haijalishi ni sehemu gani imemea. Palm trees are always beautiful, it doesn´t matter where they are...