Thursday 5 November 2015

PICHA MBALIMBALI KATIKA HAFLA YA KUAPISHWA KWA DR JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI

Dr John Pombe Joseph Magufuli akila kiapo kuwa rais wa tano wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania



Makam wa rais, Samia Suluhu Hassan akiapa


Rais John Magufuli ambae pia ni amiri jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama akikagua gwaride

Rais aliyemaliza muda wake Jakaya Mrisho Kikwete akiwa anaingia uwanja wa Uhuru 
Rais aliyemaliza muda wake Jakaya Kikwete akiwa na mkewe mama Salma Kikwete, wakitika uwanjani baada ya kumalizika kwa sherehe za kuapishwa Dr John Magufuli
PHOYP CREDIT: Issa Michuzi

No comments:

Post a Comment

PALM TREES ARE BEAUTIFUL

Minazi huleta mandhari nzuri ya kuvutia, haijalishi ni sehemu gani imemea. Palm trees are always beautiful, it doesn´t matter where they are...