MAHITAJI
Maji ya limao 1
50 g mafuta ya nazi
JINSI YA KUFANYA
Changanya maji ya limao na mafuta
ya nazi.Paka mchanganyiko huko katika nywele zako na hakikisha unafika mpaka
kwenye ngozi (scalp) na unasugua vizuri.
Fanya
hivi angalau mara 1 kwa wiki na utaona matokeo yake.
No comments:
Post a Comment