Monday 31 December 2018
GIULIA PIERALLI CABIN BAG
Kwa wale wapenda kusafiri kitanashati cabin bag hii na yote bag yake ni mwafaka. Ni kutoka kwa
Giulia Pieralli
Friday 28 December 2018
LEOPARD PATTERN DRESS
I love animal pattern clothes.
Nina nguo tofauti zenye pattern za wanyama zaidi blouse na makoti.Nina leopard pattern zaidi na bado Nina nunua tu π
Ona hivi vi dress Vipi simple ila ni vitamuu π₯π₯
Monday 24 December 2018
MERRY CHRISTMAS TO YOU ALL π²
Have yourself a merry little Christmas ππ
Tusherehekee krismasi kwa amani na utulivu na tusiache kuwakumbuka wasiojaliwa ili baraka za Mungu ziendelee kuwa nasi.God bless you allππ½ππ½
Tusherehekee krismasi kwa amani na utulivu na tusiache kuwakumbuka wasiojaliwa ili baraka za Mungu ziendelee kuwa nasi.God bless you allππ½ππ½
Sunday 23 December 2018
Saturday 22 December 2018
Friday 21 December 2018
SAFARI YANGU YA ZANZIBAR (SPICE ISLAND) Par
Unapoisoma historia ya mji wa Unguja huwezi kuacha kuzingumzia kanisa la Anglikana,Mkunazini.Habari za kanisa hili nilizisikia muda mrefu sana ila katika safari zangu zote za kwenda Unguja katika Siku za nyuma Siku wapi kupata ushabiki wa kwenda kutembelea.
Ni asubuhi ya siku ya Jumapili,majira ya saa 5 asubuhi naanza tour ya jiji la Unguja, nikiwa sina ratiba kamili ya wapi ninakwenda kutembelea ,Mwenyeji wangu alishapanga kuhusu hiyo tour na dereva wa kunipeleka. Tulizunguka sehemu nyingi bila ya kuwa na dira. Alinionyesha jengo la baraza la wawakilishi Zanzibar ambalo ni jengo zuri sana kwa muonekano. Akanionyesha ofisi za Bilozi ndogo mbalimbali.Akanionyesha hospitali ya mnazi mmoja n.k
Tulizunguka kwa miguu mji Mkongwe ambapo zamani makazi ya watu yalikuwa mengi ila cha kushangaza kwasasa ni maduka ya kuuza vitu vya kitalii na migahawa ya vyakula!
Tulizunguka kwa miguu mji Mkongwe ambapo zamani makazi ya watu yalikuwa mengi ila cha kushangaza kwasasa ni maduka ya kuuza vitu vya kitalii na migahawa ya vyakula!
Tukaenda Ngome kongwe ambapo kulikuwa na tamasha kubwa la filamu almaarufu kama Zanzibar International Film Festival(ZIFF).Kulikuwa na watalii wengi kutoka sehemu mbalimbali duniani.
Tulipokuwa hapo tamashani nikamuuliza guide wangu kuhusu kanisa la mkunazini.Akaniambia kuwa halikuwa mbalimbali na pale ila kama nilitaka kuona mengi twende Siku inayofuata kwani leo ni Jumapili na watu wanasali hivyo sitaweza kuona kila kitu.Nilimkubalia.
Siku iliyofuata amvayo ni Jumatatu kati ya saa 5 na 6 mchana Tuliwasili katika kanisa la Mkunazini,lililopo katika barabara ya Mkunazini, mji mkongwe.
Watalii wengi walikuwa wamepanga foleni wakisubiri kulipia kuingia ndani.Watalii wanalipa zaidi ya wazawa na gharama huoongezeka kama unahitaji tour guide.Miki nililipa kwa ajili ya guide pia kwani dereva wangu nilimruhusu akafanye shughuli nyingine na anirudie baada ya masaa 2. Niliongozana na guide wa kike na mara moja akaanza kunieleza lini kanisa lilijengwa na ni kwanini linautwa kanisa la Mkunazini.
Je,unajua kwa nini lilijengwa mahali hapo?Na je,ni nani alichochea ujenzi huo? Na je,lilijengwa kwa muda gani?
Kujua haya yote soma sehemu ya 2 ya Safari yangu ya Zanzibar
Watalii wengi walikuwa wamepanga foleni wakisubiri kulipia kuingia ndani.Watalii wanalipa zaidi ya wazawa na gharama huoongezeka kama unahitaji tour guide.Miki nililipa kwa ajili ya guide pia kwani dereva wangu nilimruhusu akafanye shughuli nyingine na anirudie baada ya masaa 2. Niliongozana na guide wa kike na mara moja akaanza kunieleza lini kanisa lilijengwa na ni kwanini linautwa kanisa la Mkunazini.
Je,unajua kwa nini lilijengwa mahali hapo?Na je,ni nani alichochea ujenzi huo? Na je,lilijengwa kwa muda gani?
Kujua haya yote soma sehemu ya 2 ya Safari yangu ya Zanzibar
Kanisa la Anglikana,Mkunazini
Thursday 20 December 2018
DO IT YOURSELF NECKLACES
Hizi shanga ni za kutengenezwa na watu na hata wewe unaesoma hapa kama una interest unaweza kujifunza kutengeneza ukauza kujiongezea kipato.Utengenezaji unahitaji uwezo mkubwa wa kubuni designs na kuchanganya rangi.Angalia shanga zifuatazo
MICHAEL KORS SNEAKERS
Ninapenda sana slip ins sneakers sababu hakuna adha ya kufunga kambaππ
Yaani kwasada ninavaa aina ya sneakers zaidi.
MICHAEL
Yaani kwasada ninavaa aina ya sneakers zaidi.
MICHAEL
Tuesday 18 December 2018
Monday 17 December 2018
HOLIDAYING: FLYING TANGA-PEMBA-ZANZIBAR
It was a good experience flying 20 minutes Tanga to Pemba and then 30 minutes Pemba to Zanzibar. It was adventurous oh Godπ
Subscribe to:
Posts (Atom)
PALM TREES ARE BEAUTIFUL
Minazi huleta mandhari nzuri ya kuvutia, haijalishi ni sehemu gani imemea. Palm trees are always beautiful, it doesn´t matter where they are...
-
Dar es Salaam: Mwekezaji Sheikh Salim Abdullah ametangaza kuwekeza kwenye Uwanja Wa Ndege wa Kimataifa wa JK Nyerere Dar es Salaam (JN...