Picha juu na chini ni Gari la kituo cha Afya Ilembo Mbeya Vijijini lakutwa likipakia abiria kama lilivyokutwa na mdau wetu.
Hii ni hatari gari la serikali mkuu wa kituo cha afya na dereva wanashirikiana. Mbalizi hadi Ilembo nauli ni Tshs. 4000. Mamlaka husika mpo wapi? Na Mdau Andrew Chale.
No comments:
Post a Comment