Thursday 24 July 2014
Wednesday 23 July 2014
KWA WANAWAKE: USIPITWE NA NACKLACE ZA FASHION
Fashion necklace zinapatikana kwa order.Anayetaka aagize kati ya leo na kesho.Usisahau kuandika rangi unayotaka.
PICHA:MABAKI YA VIUNGO VYA MIILI YA BINADAMU YALIYOTUPWA KATIKA ENEO LA BUNJU-DSM
Picha zinaonyesho mifuko ya rangi nyeusi iliyotumika kubeba viungo tofauti vya miili ya binadamu.Katika picha vilevile tunaona gari lililotumika kubeba mifuko hiyo.Swala hili kwasasa lipo katika uchunguzi wa polisi.
Tuesday 22 July 2014
Monday 21 July 2014
Sunday 20 July 2014
Saturday 19 July 2014
KUHUSU MTOTO ALIYEPOTEA KWENYE MAZINGIRA YA KUTATANISHA DAR ES SALAAM
Taarifa ya mtoto Marry ambaye kupitia mitandao mbalimbali ya kijamii zimetolewa picha zake na maandishi ya kuwa amepotea kwenye mazingira ya kutatanisha na baadhi ya watu walisema kuwa walimuona amechukuliwa na mtu akawa anaelekea maeneo ya kanisa la Assemblies, Changanyikeni akiwa amepakiwa kwenye boda boda mpaka sasa hivi mtoto hajaonekana.
Sasa Gea Habib na idara ya Hekaheka wameenda mpaka huko kwao na huyo mtoto,sikiliza kilichozungumzwa.
88.0 Clouds Fm inasikika ukiwa Tabora.
Bonyeza play kusikiliza.
Chanzo: Millard Ayo
Friday 18 July 2014
Thursday 17 July 2014
Wednesday 16 July 2014
MTOTO AIBIWA LEO CHANGANYIKENI
Mtoto kaibiwa leo Changanyike anaitwa Marlyn atakaemuona anaombwa atoe taarifa katika kituo chochote cha Polisi, na mtu aliyemuiba mtoto ni mkaka kanyoa pank na baade akakodi boda boda. Ukiona ujumbe huu sambaza kwa mwingine, na atakaemuona apige namba hii 0786 888808. |
MANUKATO KWA WANAWAKE KUTOKA KWA YVES ROCHER
Moment de Bonheur is a light, fresh not overpowering yet balanced perfume recommended for every day wear.
LIP BALM ZENYE HARUFU TOFAUTI AMBAZO MWANAMKE UNATAKIWA UWE NAYO KATIKA MKOBA WAKO
Vanilla Scented Lip Balm Coconut Scented Lip Balm
THE LIVING ROOM: MPANGILIO KATIKA SEBULE UNAWEZA KUWA NAMNA HII
Angalia mpangilio wa sebule kulingana na matakwa yako.Kuna wanaopenda kuwa na sofa za vipande (pieces) nyingi na kuna wanaopenda kuwa na piece moja tu kubwa. Sofa ambazo huonekana kama piece moja kubwa huweza kugawanywa vilevile katika pieces nyingi.Hizi nitawaonyesha vizuri katika makala zijazo hivyo endeleea kufuatilia hapa.
Siku hizi mfuko wako(pesa) ndiyo unaamua unataka nini au unaweza kufanya nini.Tuangalie picha zifuatazo katika kuelewa.
Siku hizi mfuko wako(pesa) ndiyo unaamua unataka nini au unaweza kufanya nini.Tuangalie picha zifuatazo katika kuelewa.
KUWA MBUNIFU KATIKA KUTENGENEZA BUSTANI KATIKA NYUMBA YAKO
Ubunifu wa bustani unazingatia ukubwa wa eneo ulilonalo.Jinsi eneo linavyokuwa kuwa ndiyo ubunifu unaongezeka.Ila kama wewe ni mbunifu mzuri hata kama una eneo dogo kwa ajili ya bustani nyumbani kwako unaweza kupendezesha mazingira ya nyumba yako. Picha zifuatazo zitakusaidia kuona jinsi gani unaweza kubuni upandaji wa maua na miti kuzunguka nyumba yako.
Subscribe to:
Posts (Atom)
PALM TREES ARE BEAUTIFUL
Minazi huleta mandhari nzuri ya kuvutia, haijalishi ni sehemu gani imemea. Palm trees are always beautiful, it doesn´t matter where they are...
-
Dar es Salaam: Mwekezaji Sheikh Salim Abdullah ametangaza kuwekeza kwenye Uwanja Wa Ndege wa Kimataifa wa JK Nyerere Dar es Salaam (JN...