Friday 8 May 2015

MSANII WA NOLLYWOOD GENEVIEVE NNAJI JINSI ALIVYOTUMIA FURSA

  
Nyota wa kike wa sinema kutoka Nigeria,Genevieve Nnaji ni msanii asiyetegema kipato kutoka katika filamu tu. Mbali ya filamu, anaingiza kipato kikubwa kutokana na matangazo. Baadhi ya makampuni anayofanya nayo kazi ni Range Rover, Amstel Malta n.k

Mwaka 2014, akishirikiana na Jumia,Genevieve alifungua line yake ya nguo ijulikanayo kama St. Genevieve. Genevieve ameiona fursa na kaitumia. Wasanii igeni mfano wa Genevieve kwani ukishakuwa na jina ndiyo mtaji wenyewe.

Bofya read more kuangalia baadhi ya mali anazomiliki nyota huyu

Genevieve arriving church in her Wagon


Genevieve Nnaji akiendesha gari yake aina ya Mercedes benz



Line yake ya nguo


Amstel Malta


Hili ni jumba linalosadikiwa kumilikiwa na Genevieve


Jumba linalosadikiwa kuwa lake nchini Ghana

CHANZO: Nairaland

No comments:

Post a Comment

PALM TREES ARE BEAUTIFUL

Minazi huleta mandhari nzuri ya kuvutia, haijalishi ni sehemu gani imemea. Palm trees are always beautiful, it doesn´t matter where they are...