Wednesday 30 September 2015
Tuesday 29 September 2015
Monday 28 September 2015
STATUS ZENU ZA WHATSAPP BADILISHENI SASA
Comments 0
- Mtu ameandika “Sleeping” , sasa leo siku ya tano, si kishakufa huyu?
- Mwingine kaandika “Driving” toka mwaka jana Agosti, naona atakuwa anakaribia Afghanistan saa hizi
- Haya jamaa najua kalazwa anaumwa lakini kaandika “Happy” we vipi ndugu yangu?
- Huyu mdada kaandika “Available”. Sijui anajua maana yake? Tukikuibukia utaanza mitusi
- Mbosi huyu hajabadilisha status mwaka wa pili sasa, “Hey there! I’m using
Saturday 26 September 2015
Friday 25 September 2015
Thursday 24 September 2015
TUNAWATAKIA WAISLAM WOTE EID MUBARAK
Rainbow-tz.blog inawatakia waislam wote eid mubarak.Tusherehekee kwa upendo na amani huku tukiwakumbuka wale wasiojaliwa.
EID MUBARAK
Wednesday 23 September 2015
RAIS JAKAYA KIKWETE ATOA ZAWADI YA IDD EL HAJI KWA MAKUNDI MBALIMBALI
Kamshna Msaidizi Kitengo cha Walemavu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Beatrice Fungamo (kulia), akimkabidhi Mwakilishi wa Mahabusu ya Watoto Upanga, Regina Kuname msaada wa vyakula na kitoweo cha mbuzi na mafuta ya kula kwa ajili ya kusherehekea Sikukuu ya ya Idd El Haji Dar es Salaam leo asubuhi.
ORIFLAME YAZINDUA OFISI MPYA TANZANIA
Mshindi wa Bidhaa za Kampuni ya Oriflame, 2013, Jessica Mwakyulu wapili (kushoto) akikata utepe wakati wa uzinduzi wa Ofisi mpya ya Kampuni hiyo jijini Dar es Salaam hivi karibuni wapili kulia ni Mkurugenzi Mtendaj Mkuu wa Kampuni hio kwa Nchi za Afrika, Piyush Chandra, na kulia ni Meneja masoko kwa nchi za Afrika, Mary Makena.
PAPA FRANCIS AWASILI MAREKANI NA KUPOKELEWA NA RAIS BARACK OBAMA
Rais Barack Obama wa Marekani akisalimiana na Papa Francis mara baada ya kuwasili katika uwanja wa Andrews Air Force Base
HARUSI YA MANAGER WA SAUTI SOL ILIVYOKUWA KWENYE BUSTANI ZA KENYA
Good news kwa watu wa nguvu ambao +254 Kenya inayatambua majina yao ambayo yako kwa wino mzito kabisa kwenye Industry ya Entertainment Kenya, wa kwanza ni Annabel Onyango ambae ni Mwanamitindo staa kabisa kutoka Kenya… mwingine ni Marek Fuchs ambae ni Manager wa Group la Mastaa wakali kabisa, Sauti Sol.
Majina ya wawili hao, yani Annabel na Marek sasahivi
wanazungumziwa tofauti, wamekuwa kwenye uhusiano wa Kimapenzi kwa zaidi
ya miaka nane na sasahivi ninazo pichaz mtu wangu, uthibitisho tosha
kabisa kwamba wao sasahivi ni mtu na mume wake.
Kama bado hujakutana nazo, unaweza
kuzicheki hapa mwanzo mwisho pamoja na baadhi ya mastaa wa +254
waliokula mwaliko wa nguvu kabisa ikiwemo Sauti Sol wenyewe !
COLLEGINE SISTERS OF HOLY FAMILY ORPHANAGE -TANGA
Tarehe 14/9 nilitoa mada kuhusu kituo cha kulea watoto
wasiokuwa na wazazi kiitwacho collegine sisters of Holf Family Orphanage
kilichopo Tanga,Tanzania.Wengi waliniandikia baada ya kuguswa na watoto hawa na
walitaka na wao kuchangia. Ifuatayo ni
namba ya sister ambae mnaweza kuwasiliana nae.Sister anaitwa Marcelina na namba
yake ni 0765 565 007.
KUTOA NI MOYO NA SI UTAJIRI.TUWASAIDIE
WATOTO HAWA KWANI WANAHITAJI MISAADA YETU KWA DHATI.
Sophia, mtoto mwenye umri wa miezi 5, ni mmoja kati ya watoto 54 wanaolelewa kituoni hapo
Unaweza kuingia katika website yao hapa vilevile uone njia nyingine za kuchangia
https://suorecolleginetanga.wordpress.com
Tuesday 22 September 2015
Subscribe to:
Posts (Atom)
PALM TREES ARE BEAUTIFUL
Minazi huleta mandhari nzuri ya kuvutia, haijalishi ni sehemu gani imemea. Palm trees are always beautiful, it doesn´t matter where they are...
-
Dar es Salaam: Mwekezaji Sheikh Salim Abdullah ametangaza kuwekeza kwenye Uwanja Wa Ndege wa Kimataifa wa JK Nyerere Dar es Salaam (JN...