Saturday, 31 October 2015
Friday, 30 October 2015
Thursday, 29 October 2015
HONGERA SAMIA SULUHU HASSAN
![]() |
Samia Suluhu Hassan |
Kwa mara ya kwanza katika historia ya Tanzania,tunapata makamu wa kwanza wa rais mwanamke.
Wanawake tunajidaije sasa.
Huu ni mwanzo mzuri katika siasa nchini kwetu. Wanawake najua ni sisi ndiyo tumempa support kubwa mama Samia.Tuendelee kumpa support katika kutimiza majukumu yake Kitaifa na kimataifa kwa kufanyakazi zaidi.
Mungu ibariki Tanzania,Mungu ibariki Afrika.
BREAKING NEWS:DR JOHN POMBE MAGUFULI NDIYE RAIS MTEULE WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA!
Dr John Pombe Magufuli
Tume ya taifa ya uchaguzi imemtangaza Dr John Pombe Magufuli kama rais mteule wa jamhuri ya muungano wa Tanzania.Dr Magufuli amepata kura asilimia 58.46
Hongera John Pombe Magufuli.
SAA ZA MKONO KWA WANAUME ZILIZONIVUTIA
![]() |
Akribos XXIV Men's Swiss Quartz Multifunction Dual Time Stainless Steel Bracelet Watch |
Wednesday, 28 October 2015
Monday, 26 October 2015
NI DIAMOND TENA! ANYAKUA TUZO ZA MTV EUROPE MUSIC AWARDS!

Hongera sana Diamond Platnumz. Tunajivunia sana uwakilishi wako. Umeipeperusha vyema bendera ya nchi yetu. Hata wasioijua Tanzania wataijua kupitia kazi zako!
Friday, 23 October 2015
Wednesday, 21 October 2015
Elegant Jewelry Gold Alloy Wide With Spring Cuff Bracelet

If interested click here: http://www.gotclicks1.com/xVKrMCXVvPAF
925 sterling silver Bangles Cuff Bracelets High Quality
If interested click here:
http://www.gotclicks1.com/DN7e65XCn3rd
Tuesday, 20 October 2015
STORI YENYE MAFUNDISHO MAKUBWA
JARIBU KUSOMA STORI HII MPAKA MWISHO NA UTAJIFUNZA KITU
“Nilipofika
nyumbani usiku ule, mke wangu aliponitayarishia chakula, nilimshika mkono na kumwambia,
Kuna kitu nataka nikwambie. Mke wangu alikaa chini na kula chakula kimya akiwa
tayari kunisikiliza. Tena nikagundua macho yake yalionyesha anaumizwa.
Nilishindwa hata namna ya kuanza kufumbua kinywa changu. Lakini ilibidi
nimwambie ili ajue nilikuwa nikifikiri nini juu yake.
Nataka
kukupa talaka. Nilianza kusema kwa utulivu. Alionekana kutokereka na maneno
yangu badala yake aliniuliza kwa sauti ya upole ‘kwa nini?’ Sikumjibu swali lake.
Kutojibu kulimfanya akasirike. Akatupa kijiko na akanikaripia, ‘wewe si
mwanamume!’ Usiku ule,hakukuwa na maongezi kati yetu. Alikuwa akilia kwa kwikwi.
Nilifahamu kwamba alitaka kujua ni nini kimetokea kwenye ndoa yetu. Lakini kwa
hakika nisingeweza kumpa jibu wala sababu ya kuridhisha; alionekana si mali
kitu kwangu penzi langu lilihamia kwa Mary. Sikumpenda tena mke wangu mawazo
yote yalikuwa kwa Mary. Kwa kweli nilimdharau mke
wangu!
Huku
moyo wangu ukijua wazi kwamba nafanya kosa, niliandika talaka ambayo ilionyesha
kwamba yeye (mke wangu) angepata nyumba yetu, gari na atakuwa na hisa 30% ya
kampuni yetu. Aliangalia talaka ile na kuichana vipande vipande.
3 PCS WOMEN MESSENGER BAG LUXURY CROCODILE PATTERN

Kama umependa hii mikoba bofya hapa:http://www.gotclicks1.com/afYwvrC52x5u
NEW TRENDY 18K STAMP NECKLACE SET
If interested click here: http://www.gotclicks1.com/MElYMgYnFpBk
925 Sterling Silver jewelry,925 necklace + bracelet jewelry set

If you are interested click here:
http://www.gotclicks1.com/2yyMFb6dPaqY

If interested click here:
http://www.gotclicks1.com/E5czXQJh9h8y
Subscribe to:
Posts (Atom)
PALM TREES ARE BEAUTIFUL
Minazi huleta mandhari nzuri ya kuvutia, haijalishi ni sehemu gani imemea. Palm trees are always beautiful, it doesn´t matter where they are...

-
Dar es Salaam: Mwekezaji Sheikh Salim Abdullah ametangaza kuwekeza kwenye Uwanja Wa Ndege wa Kimataifa wa JK Nyerere Dar es Salaam (JN...
-
1. PASTA Hiki ni chakula cha haraka.Unaweza kutayarisha pasta kwa kuongeza tu protini ulizonazo katika jokofu lako mfano kuku...
-
No 10 : Oriens By Van Cleef & Arpels No 9 : Love Sweet Love By Philosophy Love Sweet Love by Philosophy is an ideal summer perfum...