Saturday 31 October 2015
Friday 30 October 2015
Thursday 29 October 2015
HONGERA SAMIA SULUHU HASSAN
Samia Suluhu Hassan |
Kwa mara ya kwanza katika historia ya Tanzania,tunapata makamu wa kwanza wa rais mwanamke.
Wanawake tunajidaije sasa.
Huu ni mwanzo mzuri katika siasa nchini kwetu. Wanawake najua ni sisi ndiyo tumempa support kubwa mama Samia.Tuendelee kumpa support katika kutimiza majukumu yake Kitaifa na kimataifa kwa kufanyakazi zaidi.
Mungu ibariki Tanzania,Mungu ibariki Afrika.
BREAKING NEWS:DR JOHN POMBE MAGUFULI NDIYE RAIS MTEULE WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA!
Dr John Pombe Magufuli
Tume ya taifa ya uchaguzi imemtangaza Dr John Pombe Magufuli kama rais mteule wa jamhuri ya muungano wa Tanzania.Dr Magufuli amepata kura asilimia 58.46
Hongera John Pombe Magufuli.
SAA ZA MKONO KWA WANAUME ZILIZONIVUTIA
Akribos XXIV Men's Swiss Quartz Multifunction Dual Time Stainless Steel Bracelet Watch |
Wednesday 28 October 2015
Monday 26 October 2015
NI DIAMOND TENA! ANYAKUA TUZO ZA MTV EUROPE MUSIC AWARDS!
Hongera sana Diamond Platnumz. Tunajivunia sana uwakilishi wako. Umeipeperusha vyema bendera ya nchi yetu. Hata wasioijua Tanzania wataijua kupitia kazi zako!
Friday 23 October 2015
Wednesday 21 October 2015
Elegant Jewelry Gold Alloy Wide With Spring Cuff Bracelet
If interested click here: http://www.gotclicks1.com/xVKrMCXVvPAF
925 sterling silver Bangles Cuff Bracelets High Quality
If interested click here:
http://www.gotclicks1.com/DN7e65XCn3rd
Tuesday 20 October 2015
STORI YENYE MAFUNDISHO MAKUBWA
JARIBU KUSOMA STORI HII MPAKA MWISHO NA UTAJIFUNZA KITU
“Nilipofika
nyumbani usiku ule, mke wangu aliponitayarishia chakula, nilimshika mkono na kumwambia,
Kuna kitu nataka nikwambie. Mke wangu alikaa chini na kula chakula kimya akiwa
tayari kunisikiliza. Tena nikagundua macho yake yalionyesha anaumizwa.
Nilishindwa hata namna ya kuanza kufumbua kinywa changu. Lakini ilibidi
nimwambie ili ajue nilikuwa nikifikiri nini juu yake.
Nataka
kukupa talaka. Nilianza kusema kwa utulivu. Alionekana kutokereka na maneno
yangu badala yake aliniuliza kwa sauti ya upole ‘kwa nini?’ Sikumjibu swali lake.
Kutojibu kulimfanya akasirike. Akatupa kijiko na akanikaripia, ‘wewe si
mwanamume!’ Usiku ule,hakukuwa na maongezi kati yetu. Alikuwa akilia kwa kwikwi.
Nilifahamu kwamba alitaka kujua ni nini kimetokea kwenye ndoa yetu. Lakini kwa
hakika nisingeweza kumpa jibu wala sababu ya kuridhisha; alionekana si mali
kitu kwangu penzi langu lilihamia kwa Mary. Sikumpenda tena mke wangu mawazo
yote yalikuwa kwa Mary. Kwa kweli nilimdharau mke
wangu!
Huku
moyo wangu ukijua wazi kwamba nafanya kosa, niliandika talaka ambayo ilionyesha
kwamba yeye (mke wangu) angepata nyumba yetu, gari na atakuwa na hisa 30% ya
kampuni yetu. Aliangalia talaka ile na kuichana vipande vipande.
3 PCS WOMEN MESSENGER BAG LUXURY CROCODILE PATTERN
Kama umependa hii mikoba bofya hapa:http://www.gotclicks1.com/afYwvrC52x5u
NEW TRENDY 18K STAMP NECKLACE SET
''
If interested click here: http://www.gotclicks1.com/MElYMgYnFpBk
925 Sterling Silver jewelry,925 necklace + bracelet jewelry set
If you are interested click here:
http://www.gotclicks1.com/2yyMFb6dPaqY
If interested click here:
http://www.gotclicks1.com/E5czXQJh9h8y
Subscribe to:
Posts (Atom)
PALM TREES ARE BEAUTIFUL
Minazi huleta mandhari nzuri ya kuvutia, haijalishi ni sehemu gani imemea. Palm trees are always beautiful, it doesn´t matter where they are...
-
Dar es Salaam: Mwekezaji Sheikh Salim Abdullah ametangaza kuwekeza kwenye Uwanja Wa Ndege wa Kimataifa wa JK Nyerere Dar es Salaam (JN...