![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhEBTbr5-46NeX6gkmhCW-P8ldqqzvcD7TZ9VRc3MvngN9NoLhnDSzY8Idfj7HDQnDIMQpfL6Fwnby2kH1sIBZKhv2jaMX9bKmcfFyiTPiBnSyOVx12jIO42hr8BfDF1UfgzUzzMUcnqG1b/s640/3.jpg)
Mkuu mpya wa jeshi la polisi Tanzania,Kamanda Ernest Mangu pichani
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Kikwete amemteua kamanda Ernest Mangu kuwa mkuu mpya wa jeshi la polisi Tanzania. Kamanda Mangu anachukua nafasi ya Inspekta jenerali Said Mwema ambaye anastaafu.
Uteuzi wa kamanda Mangu unaanzia januari 1 2014.
CHANZO: ITV
No comments:
Post a Comment