Showing posts with label HOME DECOR. Show all posts
Showing posts with label HOME DECOR. Show all posts

Thursday, 25 January 2018

HOME DECOR: I LOVE THESE WALL SHELVES

Wall shelves zilizoninivutia.

HOME DECOR: CONTINENTAL BEDS

Kitanda ni sehemu ambayo wengi tunatumia muda wetu mwingi pale tunapohitaji kupumzika. Kama ni hivyo basi tunaponunua kitanda ni lazima tuangalie kitanda kinachofaa. Kwangu mimi uzuri wa kitanda ni godoro.Ukiwa na godoro linalofaa utatamani kupumzika kitandani kila unapojisikia kufanya hivyo.Godoro kama ni baya hutakitaka kitanda.Kitanda chenye godoro baya hukuletea uchovu na maumivu ya mgongo.


Bildresultat för kontinentalsängar


Bildresultat för kontinentalsängar
Bildresultat för kontinentalsängar

Relaterad bild

Bildresultat för kontinentalsängar

Friday, 8 September 2017

HOME DECOR:SHOE RACK

Hii kabati ya kuhifadhia viatu inapendeza kuwa nayo nyumbani.Kwanini? Ni kwa sababu zifuatazo :
1. Viatu havionekani
2. Ni rahisi kupata sehemu ya kuweka kutokana na muundo wake
3. Viatu vinapata hewa

4. Inaongeza unadhifu wa nyumba yako

Tuesday, 18 April 2017

THE BATHROOM: BATHTUBS

Unapenda mwonekano gani katika bafu lako?Je,unapenda bafu lenye shower au bath tub au vyote?
Majibu ya maswali haya ndiyo yataamua mwonekano wa bafu lako.
Mimi hupendelea kuoga kwenye bathtub.Ni sehemu ambayo ninaweza kuchukua muda mrefu kupumzisha akili yangu baada ya harakati za siku nzima.Hunifanya nijisikie vizuri.
Bathtubs zipo za aina tofauti kulingana na kipato chako.
Hebu tuangalie bathtubs zifuatazo

THE DINNING ROOM: DINNING ROOM FURNITURE

Unaweza kuifanya dining room yako iviutie kutokana na furniture (samani)utskaxowela na mpangilio wake.Haijalishi kama dining room yako ni kubwa au ndogo,kikubwa ni ubunifu wako tu katika kupangilia.
Si lazima ufanye kazi hii mwenyewe.Unaweza kutumia wataalamu wa kupamba/kupangilia nyumba wakakushauri.Ila washauri hawa hutoza gharama kwa kazi hiyo.
Angalia hapa chini baadhi ya samani za dining room na mpangilio wake.

Saturday, 8 April 2017

THE BEDROOM:AINA ZA VITANDA NA MPANGILIO WAKE

Unaponunua kitanda inatakiwa kuzingatia uimara wake na vile vile zingatia aina ya  godoro ili kuepuka maumivu ya mgongo.Kitandani ni sehemu tunayotumia nusu ya muda wetu hivyo ni bora tuwe makini.
Mimi ninapendelea continental beds.Na ndizo nitawaonyesha haha Leo!




THE LIVING ROOM:UPANGILIAJI WA SEBULE

Sebule hupendeza kutokana na mpangilio wa vitu na si wingi wa vitu.Hivyo inabidi kuwa makini katika ununuzi na upangiliaji wa Samani (furniture).Angalia upangiliaji tofauti katika picha zifuatazo



PALM TREES ARE BEAUTIFUL

Minazi huleta mandhari nzuri ya kuvutia, haijalishi ni sehemu gani imemea. Palm trees are always beautiful, it doesn´t matter where they are...