Wall shelves zilizoninivutia.
Thursday, 25 January 2018
HOME DECOR: CONTINENTAL BEDS


Saturday, 18 November 2017
Friday, 8 September 2017
HOME DECOR:SHOE RACK
Hii kabati ya kuhifadhia viatu inapendeza kuwa nayo nyumbani.Kwanini? Ni kwa sababu zifuatazo :
1. Viatu havionekani
2. Ni rahisi kupata sehemu ya kuweka kutokana na muundo wake
3. Viatu vinapata hewa
4. Inaongeza unadhifu wa nyumba yako
Thursday, 7 September 2017
Tuesday, 18 April 2017
THE BATHROOM: BATHTUBS
Unapenda mwonekano gani katika bafu lako?Je,unapenda bafu lenye shower au bath tub au vyote?
Majibu ya maswali haya ndiyo yataamua mwonekano wa bafu lako.
Mimi hupendelea kuoga kwenye bathtub.Ni sehemu ambayo ninaweza kuchukua muda mrefu kupumzisha akili yangu baada ya harakati za siku nzima.Hunifanya nijisikie vizuri.
Bathtubs zipo za aina tofauti kulingana na kipato chako.
Hebu tuangalie bathtubs zifuatazo
THE DINNING ROOM: DINNING ROOM FURNITURE
Unaweza kuifanya dining room yako iviutie kutokana na furniture (samani)utskaxowela na mpangilio wake.Haijalishi kama dining room yako ni kubwa au ndogo,kikubwa ni ubunifu wako tu katika kupangilia.
Si lazima ufanye kazi hii mwenyewe.Unaweza kutumia wataalamu wa kupamba/kupangilia nyumba wakakushauri.Ila washauri hawa hutoza gharama kwa kazi hiyo.
Angalia hapa chini baadhi ya samani za dining room na mpangilio wake.
Saturday, 8 April 2017
THE BEDROOM:AINA ZA VITANDA NA MPANGILIO WAKE
Mimi ninapendelea continental beds.Na ndizo nitawaonyesha haha Leo!


THE LIVING ROOM:UPANGILIAJI WA SEBULE

Thursday, 8 December 2016
Thursday, 27 October 2016
Wednesday, 12 October 2016
Wednesday, 21 September 2016
PALM TREES ARE BEAUTIFUL
Minazi huleta mandhari nzuri ya kuvutia, haijalishi ni sehemu gani imemea. Palm trees are always beautiful, it doesn´t matter where they are...
-
Hip Hop’s Legend, Jay Z announced his world tour yesterday which includes seven stops in Africa, according to Billboard. Jay-Z has nai...
-
Dar es Salaam: Mwekezaji Sheikh Salim Abdullah ametangaza kuwekeza kwenye Uwanja Wa Ndege wa Kimataifa wa JK Nyerere Dar es Salaam (JN...
-
Minazi huleta mandhari nzuri ya kuvutia, haijalishi ni sehemu gani imemea. Palm trees are always beautiful, it doesn´t matter where they are...

