Thursday 9 January 2014

Tambua asali halisi kwa njia hii rahisi kabisa popote utakapokuepo




Matumizi ya asali ni mazuri kwa afya yako lakini ikiwa tu utatumia ASALI HALISI na sio asali ILIYO CHAKACHULIWA. Ukitumia asali halisi utapata matokeo unayoyategemea na si vinginevyo.

Kutambua asali halisi fata mtiririko huu:-

1.Chukua glass unayoweza ona ndani kwa urahisi.

2.Jaza maji angalau nusu

3.Dondoshea asali taratibu kwenye glass yenye maji kama inavyoonekana kwenye picha.

4.Asali halisi inatakiwa iende mpaka chini na kutulia na isijichanganye na maji. Kama asali uliyonayo sio halisi pindi itakapogusa maji tu itajichanganya na maji hayo.
CHANZO: JF

No comments:

Post a Comment

PALM TREES ARE BEAUTIFUL

Minazi huleta mandhari nzuri ya kuvutia, haijalishi ni sehemu gani imemea. Palm trees are always beautiful, it doesn´t matter where they are...