PICHA: Rais Barack Obama akimkumbatia Maya Angelou baada ya Maya kupata "medal of Freedom”, 2010.
Mshairi, Mwandishi na mwanaharakati mashuhuri,Maya Angelou amefariki akiwa na umri wa miaka 86. Habari hizi ni kwa mujibu wa kituo cha WGHP-TV kutoka katika mji wa Winston-Salem ambapo Maya anatokea.
No comments:
Post a Comment