Saturday, 9 August 2014
BREAKDOWN YA BASI LA RATCO ALHAMISI YA TAREHE 7 AUGUST
Alhamisi ya tarehe 7 august tulisafiri na basi la Ratco kutoka Dar kwenda Tanga.Tulivyofika Kibaha basi lilisimama ghafla.Tuliambiwa kuwa basi limeharibika na itachukua dakika 30 kulitengeneza.Badala ya kukaa dakika 30 tulikaa zaidi ya Masaa mawili bila maelezo zaidi.Tuliamua kuwauliza wahusika kinachojiri nao wakasema filter imekufa na wanasubiri nyingine kutoka mjini.Kilichotukasirisha kwanini zilipozidi dakika 30 hawakutuambia mini kinaendelea?Naomba Ratco mjirekebishe.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
PALM TREES ARE BEAUTIFUL
Minazi huleta mandhari nzuri ya kuvutia, haijalishi ni sehemu gani imemea. Palm trees are always beautiful, it doesn´t matter where they are...
-
Hip Hop’s Legend, Jay Z announced his world tour yesterday which includes seven stops in Africa, according to Billboard. Jay-Z has nai...
-
Dar es Salaam: Mwekezaji Sheikh Salim Abdullah ametangaza kuwekeza kwenye Uwanja Wa Ndege wa Kimataifa wa JK Nyerere Dar es Salaam (JN...
-
Minazi huleta mandhari nzuri ya kuvutia, haijalishi ni sehemu gani imemea. Palm trees are always beautiful, it doesn´t matter where they are...

No comments:
Post a Comment