Tuesday, 4 June 2013

RAIS KIKWETE ZIARANI NCHINI SINGAPORE

Rais Jakaya Kikweteakilakiwa na  mkurugenzi mkuu wa wizara ya Mambo ya Nje ya  Singapore,Bw Laurence Bay.Kushoto ni Balozi wa Tanzania India na Singapore Injinia John Kijazi na mbele yao ni Naibu Mkurugenzi wa Itifaki wa Singapore Bi.christine Tay.

Rais Kikwete akisalimiana na Bernard Membe, Waziri wa mambo ya nje na Ushirikiano wa Kimataifa,akifuatiwa na Abdallah Kigoda,Waziri wa Viwanda na Biashara na Anna Tibaijuka,Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi

Raisi Kikwete akiongea na wafanyabiashara jijini Singapore leo akiwataka wafanyabiashara hao kuja kuwekeza katika sekta ya nyumba

No comments:

Post a Comment

PALM TREES ARE BEAUTIFUL

Minazi huleta mandhari nzuri ya kuvutia, haijalishi ni sehemu gani imemea. Palm trees are always beautiful, it doesn´t matter where they are...