| Mhe. Kedikilwe akiteremka kwenye ndege mara baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere. |
| Mhe. Membe akimkaribisha nchini Mhe. Kedikilwe mara baada ya kuwasili. |
| Mhe. Kedikilwe akikagua Gwaride la Heshima. |
| Mhe. Kedikilwe na Mhe. Membe wakifurahia burudani iliyokuwepo uwanjani hapo kwa mapokezi. |
| Mazungumzo yakiendelea. CHANZO: Issa Michuzi |
No comments:
Post a Comment