| WASAFI......WCB |
| Picha Picha tu zinahusika sehemu kama hizi.....Kumbukumbu tosha. |
| William Malecella or U can Call Him Lemutuz..... |
| I-view Media C.E.O & Founder Raqeey wa kulia na Mpenzi wa Nancy Sumari. |
| Nancy Sumari,Kulia akiteta jambo na mgeni mwingeni mwalikwa....Sehemu kama hizi ukutanisha watu na kubadilishana mawazo... |
| Kutoka Kushoto A.Y,Shaa,Bench Mark Founder & EBSS Chief Judge Madam Rita & Salama Jabir ndani ya nyumba.... |
| Kila mtu Busy na simu kuangalia kianchojiri kwenye upande wa pili wakisubiria Launching ya My Number One... |
| Uncle Salu akukosekana nae,kuhakikisha mambo yanaenda sawa pembeni ni mama yangu Mzazi BI Sandrah.... |
| Mama Yangu kipenzi akukosekana,Asante sana mama kwa kufika,Binafsi nafarijika kuona hata mama yangu mzazi anakubali kazi zangu... |
| Kelvin Twisa toka Airtel nae ndani ya Jumba.... |
| Hizi unazoona kwenye Screen ndani ya picha ni baadhi ya Clip za Behind the scene ya My Number One.... |
| Babu tale toka Tip Top Connection & Fella toka TMK... |
| Toka Bongo MOVIE JAY B & RAY walikuwepo kuona kile ndugu yao wa karibu nini nafanya... |
| Madee toka Tip Top Connection nae alikuwepo... |
| Proffesor Jay nae alikuwepo kuakikisha anashuudia kile ambacho alikuwa akikisikia... |
| Abdallah au waeza muita Mjukuu wa Ambua basi tumuite Dullah Planet Bongo ndiye alikuwa anaongoza gurudumu ili kuanzia mwanzo hadi mwisho... |
| Wenzetu wanaita Master Of Ceremony but binafsi watu wanaoendesha shuguli yoyote ya maongezi au Sherehe namuiaga msema Chochote.... |
| Nikitokeza kwa Stage kusalimiana na wageni wangu waalikwa waliofika kwaajili yangu kushuudia uzinduzi wa Video yangu Mpya..... |
| Hahaha usiombe usikie nilichoambiwa hapa mbele....Lazima utatabasamu... |
| Mama yangu akitabasamu kuonesha ishara ya furaha ndani yake... |
| Furaha ilioje.....imezidi mpaka imepitiliza...uwiiii mama yangu nakupenda sana... |
| SENEDA vipi tena....? Macho Kodoo wapi.... |
| Muda baada ya wadau wangu na watu wangu wa karibu kuiona video hiyo hii ilikuwa zawadi yangu kwao,kwa mara ya kwanza nimetumbuiza my number one kwenye stage.... |
| Gentleman's....... |
| Taratibu...... |
| Aghaaa.....Tatu kidonda chako kwangu maradhi...... |
| Kwa mahaba uliyonipa...Nimenogewa..... |
| Ajajaja Mizuka imepanda.... |
| Woshhhhh.....Balaa sana...... |
| Baada ya kutumbuiza nilikuwa na machache ya kuzungumza nao.... |
| Kutoka Kushoto Sheddy Clever Producer aliefanya My Number one..... |
| Ommy Dimpoz...Tupogo nae alikuwepogo ndani ya Nyumba..... |
| G5 CLICK..... |
| Nikikumbatiana na Ommy Dimpoz...Thanks Man kwa kutokea... |
| Nilikuwa Busy sana toka nimewasili baada ya kila kitu ilikuwa time ya kuzunguka na kuongea na kusalimu wageni waalikwa......Mmoja wapo Kaka yangu Dully nilienda kusalimiana nae kitambo atujasomana... |
| Ukikaa na huyu mtu kamwe uwezi nuna pasipo sababu ya msingi..... |
| Qboy Msafi...Assistance wangu wa karibu... |
| Nikisikiliza jambo la muhimu toka kwa Meneja mahusiano wa Airtel Tanzania... |
| Dude a.k.a Yahya au waeza mwita Bongo Dar Es Salaam alikuwepo pia.... |
| Nelly toka G5 Clik ya Clouds Media Group nae ndani... |
| Ommy Dimpoz & Qboy msafiii |
| My Blood Rommy Jones au waweza muita Vice President wa wasafi,Ommy Tupogo,Qboy & Prince Dully |
| Family....Romeo & Mwengi Ali shem lake.... |
| My Fresh n Blood Sister ESMA KHAN nae akukosekana licha ya kuwa mbali kidogo lakini aliweza wahi kuja kunipa support mdogo wake... |
| Kulikoni Romeo wamfokea Penniel........??? Sielewi |
| Esma Khan & True Boy Nay.... |
| Kichwa mimi hapa,SALMA msangi & Proffesor J.... |
| Essy & I |
| Doooh......Noma sana |
| Memaliza watu wang wa kweli...... CHANZO: This is diamond |
No comments:
Post a Comment