Mtoto wa H.Baba, Tanzanite
“Namshukuru Mungu kwasababu nimebahatika kupata mtoto kipindi ambacho nimeoa mke wangu tupo kwenye ndoa, sikuzaa nje,” alisema.
Mke wa H.Baba, Florah Mvungi akiwa na mwanae Tanzanite mwenye miezi miwili
Aliongeza kuwa mara kwa mara amekuwa akimsaidia pia mke wake kumlea mtoto wao. “Ukiona mtu hamsaidii mkewe basi wanalala vyumba tofauti lakini unalala mtoto katikati, mama hapa mimi hapa lazima niamke nimsaidie, akilia na mimi naamka, tunakesha na mtoto. Kuna muda wa kumuogesha, namsaidia kwahiyo tunasaidia kazi sababu kuna muda na yeye anachoka. Muda wote anakua kambeba. Akilala kidogo hataki kelele mtoto, hakuna kusikiliza hata muziki.”
CHANZO: Bongo5
No comments:
Post a Comment