Tuesday 17 December 2013

HUKU NA KULE NA RAINBOW CAMERA.


Maeneo ya ferry Dar




Samaki fresh kabisa kutoka baharini katika soko la ferry Dar es salaam!Wengine tunakula samaki waliokaa katika majokofu sijui kwa muda gani.

PICHA kwa hisani ya kamera ya rainbow ndani ya Dar

No comments:

Post a Comment

PALM TREES ARE BEAUTIFUL

Minazi huleta mandhari nzuri ya kuvutia, haijalishi ni sehemu gani imemea. Palm trees are always beautiful, it doesn´t matter where they are...