Tuesday 17 December 2013

MAISHA NI NYUMBA: ANGALIA DESIGNS TOFAUTI ZA NYUMBA

Linapokuja swala la kujenga nyumba kila mtu anakuwa na matakwa yake kulingana na uwezo aliokuwa nao kifedha na mahitaji halisi. Kama una uwezo mkubwa kifedha lakini huna familia kubwa si wazo zuri kujenga nyumba kubwa sana kwani itakupa kazi ya ziada katika uangalizi. Vilevile kama huna uwezo mkubwa  kifedha usijenge nyumba kubwa kwani itakuchukua muda mrefu sana kukamilisha ujenzi au itajengwa chini ya kiwango.













No comments:

Post a Comment

PALM TREES ARE BEAUTIFUL

Minazi huleta mandhari nzuri ya kuvutia, haijalishi ni sehemu gani imemea. Palm trees are always beautiful, it doesn´t matter where they are...