Thursday 2 January 2014

MAFANIKIO YANGU SABABU YA KADINDA-WEMA

WEMA SEPETUU cutMSANII nyota wa filamu Bongo Wema Isack Sepetu amefunguka kwa kudai kuwa hawezi kuachana urafiki na meneja wake Martin Kadinda kwa sababu kama kuna kitu chochote cha mafanikio nyuma yake yupo Kadinda jambo anasema hana rafiki aliye wa karibu kuliko meneja huyo ambaye amekuwa akimuongoza vema.
wema sepetu, Martin Kadinda
Wema Sepetu akiwa na meneja Martin Kadinda
WEMA SEPETUU 538
wema_sepetu 534






































































“Kadinda ndiye kila kitu kwangu, hata akiondoka na kukaa mbali na mimi kwa muda mrefu ninapokutana naye tu, nitamweleza kila kitu toka siku ya mwisho tuliyoachana hivyo inakuwa kama sijapoteana naye ni kama vile nipo naye kila siku iendayo kwa Mungu,”anasema Wema.
Msanii huyu ameendelea kusema kwamba hata kampuni yake ya Endless Fame film alifungua kwa msaada wa Kadinda baada ya kumshauri kwa hadhi yake anastahili kuwa na kampuni na kuachana kuigiza filamu za watu wengine.
CHANZO: FILAMU CENTRAL

No comments:

Post a Comment

PALM TREES ARE BEAUTIFUL

Minazi huleta mandhari nzuri ya kuvutia, haijalishi ni sehemu gani imemea. Palm trees are always beautiful, it doesn´t matter where they are...