Kama kuna kitu ninachokipenda ndani ya nyumba basi ni mapazia.Hii inanipelekea kununua mapazia ya aina tofauti mara kwa mara,Katika upangiliaji wa mapazia yangu nyumbani kwangu huwa ninazingatia rangi katika kuta, mazulia, na samani(fenicha).Nadhani kila mtu ana mtazamo wake ila kwa kweli ili upate mpangilio ulio mzuri inabidi usigonganishe sana rangi kwani unaweza kufanya nyumba yako iwe na giza sana au ionekane kama chafu. Wengi wetu huwa tunashindwa kujua tuweke mapazia ya aina gani.Huwa inakuwa ngumu sana kwa wale wenye samani hususan masofa yaliyotengenezwa kwa vitambaa vya maua.Naweka baadhi ya picha hapa kukusaidia kidogo msomaji wangu katika kupangilia na nitakuwa nafanya hivi mara kwa mara.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
PALM TREES ARE BEAUTIFUL
Minazi huleta mandhari nzuri ya kuvutia, haijalishi ni sehemu gani imemea. Palm trees are always beautiful, it doesn´t matter where they are...
-
Dar es Salaam: Mwekezaji Sheikh Salim Abdullah ametangaza kuwekeza kwenye Uwanja Wa Ndege wa Kimataifa wa JK Nyerere Dar es Salaam (JN...
-
1. PASTA Hiki ni chakula cha haraka.Unaweza kutayarisha pasta kwa kuongeza tu protini ulizonazo katika jokofu lako mfano kuku...
No comments:
Post a Comment