Pamoja na wengi kujua kuwa simba ni mkali, imedhihirika kuwa na yeye ana mbabe wake na si mwingine zaidi ya NYATI au MBOGO, kama anavyojulikana.Simba na nyati ni swala la nani kamuwahi mwenzie! Picha inaonyesha jeraha kubwa kwa mfalme wa msituni (simba), alilopewa na nyati.Hii inathibitisha usemi wa wahenga kuwa KILA SHETANI NA MBUYU WAKE!
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
PALM TREES ARE BEAUTIFUL
Minazi huleta mandhari nzuri ya kuvutia, haijalishi ni sehemu gani imemea. Palm trees are always beautiful, it doesn´t matter where they are...
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEixPkmUD6BlELGsmsbPwjpDvUzYVSJucL9tIDOmhvtYZ1VdZsMdjBLkWzRECV5h5GfG1cmlO02mAtIF24K_1czuOnGk95QraoMEY2I52c4f3kxOOA8qfcoQIXP4dibVU2F30C-kqcGrlovjLX0NC3VbSlyQFDMXb-iwY0vwKCgu3gg1Qn30Mv4OVUjb2sg/w400-h266/caribbean-3942784_1280.jpg)
-
Dar es Salaam: Mwekezaji Sheikh Salim Abdullah ametangaza kuwekeza kwenye Uwanja Wa Ndege wa Kimataifa wa JK Nyerere Dar es Salaam (JN...
-
1. PASTA Hiki ni chakula cha haraka.Unaweza kutayarisha pasta kwa kuongeza tu protini ulizonazo katika jokofu lako mfano kuku...
No comments:
Post a Comment