Si lazima ujaze samani ili kuleta mwonekano mzuri katika sebule lako.Unaweza kuweka sectional sofa moja tu na kupata mwonekano mzuri.Hii inasaidia kuweza kuweka vitu vingine muhimu kama rafu(shelf) kwa mapambo au vitabu kiasi, maua au mimea ya ndani n.k,Kuwa na samani chache kunasaidia kufanya kila kitu kilichopo kuonekana vizuri,(mfano picha za ukutani) na kuleta mvuto wa aina yake.Angalia picha zifuatazo:
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
PALM TREES ARE BEAUTIFUL
Minazi huleta mandhari nzuri ya kuvutia, haijalishi ni sehemu gani imemea. Palm trees are always beautiful, it doesn´t matter where they are...
-
Dar es Salaam: Mwekezaji Sheikh Salim Abdullah ametangaza kuwekeza kwenye Uwanja Wa Ndege wa Kimataifa wa JK Nyerere Dar es Salaam (JN...
-
1. PASTA Hiki ni chakula cha haraka.Unaweza kutayarisha pasta kwa kuongeza tu protini ulizonazo katika jokofu lako mfano kuku...
No comments:
Post a Comment