Tuesday 14 October 2014

MAZINGIRA: KILICHONIVUTIA JIJINI TANGA

Matunda tofauti yakiuzwa barabarani jijini Tanga


Muuzaji matunda aliweka kapu hili kwaajili ya kutupia uchafu.Mimi na team yangu tulikula sana machungwa hapa na kutupa maganda katika kapu hili.Kabla ya kuondoka muuzaji husafisha eneo na kuliacha safi kama alivyolikutwa,vinginevyo sheria huchukua mkondo wake dhidi ya muuzaji aliyekiuka utaratibu.
PICHA na Anna Nindi

No comments:

Post a Comment

PALM TREES ARE BEAUTIFUL

Minazi huleta mandhari nzuri ya kuvutia, haijalishi ni sehemu gani imemea. Palm trees are always beautiful, it doesn´t matter where they are...