![](https://fbcdn-sphotos-d-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xfp1/v/t1.0-9/10613087_10203702490515850_5480094044032512527_n.jpg?oh=3b8643ee8f848bd04bc9f8b65526f206&oe=54AE7AA9&__gda__=1422308556_8f9eec301f89e045e07fd7148e955249)
Ni mchanganyiko wa wali uliopikwa, vitunguu maji (kata vipande vidogovidogo), kabichi iliyokatwa vipande vidogo wastani kiasi kidogo, pilipili hoho nyekundu 1, pilipili hoho kijani 1, unga wa binzari vijiko 4 vya chai, unga wa pilipili hoho nyekundu vijiko 3 vya chai, soya sosi vijiko 2 vya chai, mafuta ya kupikia vijiko 4 vya chakula(unawza kuongeza), chumvi kijiko 1 cha chai(unaweza kuongeza kwa ladha unayotaka), kitunguu swaumu, vipande vidogo vya steki kuku ya kukaanga au kuchoma gramu 400, njegere 1/2 kikombe na kamba gramu 100(prawns).
Mlo huu unafaa kuliwa na saladi.Ni mlo mzuri kwani una virutubisho vingi.
No comments:
Post a Comment