Maxi ni vazi lisilopitwa na wakati.Kinachobadilika katika vazi hili ni mitindo tu.Ni vazi ambalo hupendeza wengi.Je,wewe una maxi katika kabati lako?Kama huna jitahidi upate angalau maxi moja na hutajutia.Kikubwa angalia umbo lako ujue nini kitakupendeza.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
PALM TREES ARE BEAUTIFUL
Minazi huleta mandhari nzuri ya kuvutia, haijalishi ni sehemu gani imemea. Palm trees are always beautiful, it doesn´t matter where they are...
-
Dar es Salaam: Mwekezaji Sheikh Salim Abdullah ametangaza kuwekeza kwenye Uwanja Wa Ndege wa Kimataifa wa JK Nyerere Dar es Salaam (JN...
-
1. PASTA Hiki ni chakula cha haraka.Unaweza kutayarisha pasta kwa kuongeza tu protini ulizonazo katika jokofu lako mfano kuku...
No comments:
Post a Comment