Monday 23 March 2015

THE GARDEN: JE,UNAYAFAHAMU MATUNDA HAYA?



Tunda hili nalifahamu kwa jina la “bungo”.Bungo linaliwa kwa chumvi na pilipili au na sukari. Kwa mara ya kwanza nilikunywa juisi ya bungo visiwani Zanzibar. Ni juisi ambayo unaweza kumaliza lita 2 nzima na bado ukawa unaitamani. Je,jina linguine la bungo ni nini? 

No comments:

Post a Comment

PALM TREES ARE BEAUTIFUL

Minazi huleta mandhari nzuri ya kuvutia, haijalishi ni sehemu gani imemea. Palm trees are always beautiful, it doesn´t matter where they are...