Saturday, 18 April 2015

FAIDA ZA MDALASINI



Mdalasini ni moja ya kiungo kizuri na muhimu sana kuwa nacho jikoni kwako. Kiungo hiki kina faida nyingi sana. Zifuatazo ni baadhi tu ya faida zake:
  • Mdalasini ina uwezo wa kupambana na bakteria. Ni nzuri ktk kupambana na  maambukizi katika kibofu cha mkojo
  • Inashusha shinikizo la damu
  • Inapambana na kolesterol mbaya
  • Inaimarisha afya ya fizi na meno

  • Inapambana na maumivu hasa maumivu ya tumba. Inaondoa tatizo la gesi tumboni.
  • Inasaidia kuzalishwa kwa jusi za tumboni zinazosaidia usagwaji wa chakula hivyo kuzuia tatizo la kutokupata choo
  • Inasafisha utumbo mpana
  • Inaondoa sumu mwilini
  • Inasaidia kupunguza uzito hususan mdalasini ukichanganywa na asali
  • Inapambana na saratani ya matiti na ya utumbo mpana
  • Inaongeza hamu la kufanya mapenzi.Weka Vijiko 2 vikubwa vya mdalasini  katika maji moto,changanya na vijiko 3 vya asali
  • Inajenga afya ya uzazi kwa mwanaume
  • Ina rekebisha/sawazisha homoni na maumivu wakati wa hedhi kwa wanawake
  • Inapunguza nafasi ya kupata ujauzito kwa kuweka mzunguko wa hedhi vizuri
  • Inaondoa chunusi. Changanya vijiko 3 vya asali na kijiko 1 cha mdalasini,paka kwenye chunusi

No comments:

Post a Comment

PALM TREES ARE BEAUTIFUL

Minazi huleta mandhari nzuri ya kuvutia, haijalishi ni sehemu gani imemea. Palm trees are always beautiful, it doesn´t matter where they are...