Thursday 23 May 2013

BREAKING NEWZ : MAJAMBAZI WAVAMIA GARI NA KUPORA FEDHA MAENEO YA SAYANSI-KIJITONYAMA


Matundu matatu ya risasi katika kioo cha gari lililovamiwa na majambazi


Wanausalama barabarani wakichukua taarifa eneo la tukio.
Majambazi yaliyokuwa na silaha aina ya SMG yakiwa na pikipiki aina ya Bajaj Boxer yamevamia gari ndogo aina ya VITZ na kuwajeruhi watu wawili wenye asili ya asia na kupora kiasi cha fedha ambacho bado dhamani yake haijafahamika mara moja.Tukio hili llimetokea Sayansi-Kijitonyama jijini Dar es Salaam

No comments:

Post a Comment

PALM TREES ARE BEAUTIFUL

Minazi huleta mandhari nzuri ya kuvutia, haijalishi ni sehemu gani imemea. Palm trees are always beautiful, it doesn´t matter where they are...