Thursday 23 May 2013

RAIS KIKWETE AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA BARABARA YA IRINGA - DODOMA

Rais Jakaya  Kikwete (kushoto) akiteta  jambo na mbunge wa  jimbo la Isimani Wiliam Lukuvi 

Rais  Kikwete  akisalimiana na mwenyekiti wa CCM wilaya ya  Kilolo Sety Moto
Rais Jakaya  kikwete  wa nne  kushoto akiwa na  viongozi mbali mbali akiwemo  waziri  wa ujenzi Dkt John Magufuli wa wa sita  na waziri  wa nchi ofisi ya  waziri mkuu  sera na uratibu wa bunge na mbunge wa jimbo la Isimani Bw. Wiliam Lukuvi nyuma viongozi wa  mahakama na viongozi  wa serikali

Hapa  ni eneo la Isimani  wilaya ya Iringa vijijini  ujenzi  ukiendelea na hii ni kazi nzuri ya Tanroads mkoa  wa Iringa katika  usimamizi wa barabara hii itakayofungua  fursa  kwa  mikoa ya  kusini itagharimu zaidi ya Tsh bilioni 222 na  leo majira ya saa 3 asubuhi  itawekwa jiwe la msingi na Rais Jakaya  Kikwete


Rais  Kikwete akiangana na wananchi  waliofika kushuhudia zoezi la uwekaji jiwe la Msingi barabara  ya lami kati ya Iringa - Dodoma

CHANZO:matukio daima

No comments:

Post a Comment

PALM TREES ARE BEAUTIFUL

Minazi huleta mandhari nzuri ya kuvutia, haijalishi ni sehemu gani imemea. Palm trees are always beautiful, it doesn´t matter where they are...