Thursday 23 May 2013

WAZAZI KUKWEPA MAJUKUMU YAO KWASABABISHA WATOTO KUJIAJIRI MBEYA




Watoto hawa wakiwa wamebeba matofali kwa ujira ili waweze kukidhi mahitaji yao ya shule kama madaftari, n.k kufuatia wazazi wao kutokuwa na uwezo.Je,hii ni sahihi wadau?Jukumu la kulea mtoto ni la mzazi au mtoto mwenyewe?Je,kwa hawa wanaotoa ajira kwa watoto  wapo sahihi?Na kama hawapo sahihi je,ni hatua gani zinachukuliwa juu yao?
PICHA : Mbeya yetu

No comments:

Post a Comment

PALM TREES ARE BEAUTIFUL

Minazi huleta mandhari nzuri ya kuvutia, haijalishi ni sehemu gani imemea. Palm trees are always beautiful, it doesn´t matter where they are...