Popin champagne wit my Family Hapa akiendesha boti la kifahari katika bahari ya hindi jijini Dar es salaam na rafiki zake.Akiendesha gari wakati akielekea katika kuponda bata
MASHABIKI WAMPONDA KATIKA MTANDAO MARA BAADA YA KUPOSTI NA HIKI NDICHO WALICHOANDIKA KATIKA MTANDAO WA FACEBOOK.
Mawazo ya rainbow-tz kuhusu hii post ni kama ifuatavyo:
Mitandao mingi imetoa post hiyo hapo juu inayomhusu msanii wa bongo flava Diamond Platnumz.
Mawazo ya rainbow-tz kuhusu hii post ni kama ifuatavyo:
Mitandao mingi imetoa post hiyo hapo juu inayomhusu msanii wa bongo flava Diamond Platnumz.
Diamond
amepost hii picha leo hivyo tusimhukumu moja kwa moja kwani huenda ikawa kuponda
raha(kama ilivyoandikwa na mitandao mingine) kulifanyika siku za nyuma,na si leo wakati wasanii wenzake wakisubiri mwili
Albert Mangwea uwanja wa ndege.
Kama Diamond alikuwa na wenzake uwanja wa ndege nadhani ni vizuri athibitishe hivyo kumaliza mashambulizi ya maneno makali yalitolewa dhidi yake.
No comments:
Post a Comment