Mwanamuziki kutoka kundi la wateule akiwa ameshiba msalaba wa
Albert Mangwair baada ya mwili wake kuwasili katika uwanja wa
ndege wa kimataifa wa Mwl.Julius Nyerere.
Profesa Jay na Lamar
Pichani ni baadhi ya Watanzania wakiusubiria mwili wa marehemu
Albert mangwair kuwasili uwanja wa kimataifa wa
Mwl. Julius Nyerere.
Mmoja wa marafiki na msanii Mangwair Banana Zorro akihojiwa
na mwandishi wa habari wakati wakiusubiria mwili wa marehemu huyo.
Wadau wakiwa uwanjani kuupokea mwili
No comments:
Post a Comment