Tuesday, 4 June 2013

TEKSI ZA MAGADISHU,SOMALIA

Madereva wa teksi  katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu. Teksi  hizo  ni sehemu ya magari mapya miatano ya kampuni hii ya teksi. Kampuni hii ya teksi ilianzishwa na raia mmoja wa Somalia aliyekuwa anaishi ugenini lakini  kwasasa karejea Somalia.
CHANZO: BBC

No comments:

Post a Comment

PALM TREES ARE BEAUTIFUL

Minazi huleta mandhari nzuri ya kuvutia, haijalishi ni sehemu gani imemea. Palm trees are always beautiful, it doesn´t matter where they are...