Friday, 7 February 2014

KING MAJUTO NA NISHA WAFANYA HIP HOP KATIKA FILAMU YA GUMZO.


King Majuto katika filamu mpya ya Gumzo inayotarajiwa kutoka mwezi huu wa pili amefanya Hip Hop kama anavyoonekana pichani. Filamu hiyo imeandaliwa na Salma Jabu Nisha na masataa wengine ndani ya filamu hiyo ni Hemed, Wastara na muigizaji mpya anayeitwa Tausi. Je Gumzo itakuwa gumzo kweli?



CHANZO: Swahili world planet

No comments:

Post a Comment

PALM TREES ARE BEAUTIFUL

Minazi huleta mandhari nzuri ya kuvutia, haijalishi ni sehemu gani imemea. Palm trees are always beautiful, it doesn´t matter where they are...