Friday 4 April 2014

TFDA yafunga ‘supamaketi’ 29


Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA), Hiiti Sillo (kushoto) akiwaonyesha waandishi wa habari wakati wa mkutano Dar es Salaam, bidhaa za chakula na vinywaji walizokamata kwenye maduka makubwa (supermarkets) ambazo hazifai kwa matumizi ya walaji. Kulia ni Mkurugenzi wa Usalama wa Chakula wa TFDA, Raymond Wigenge. Picha na Michael Jamson 



Dar es Salaam. Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) imefunga maduka makubwa (supermarkets) 29 kwa makosa ya kufanya biashara bila vibali mpaka pale yatakapotimiza masharti ya sheria.
Pamoja na hatua hiyo, pia TFDA imekamata bidhaa za aina tofauti za maziwa ya watoto ambazo hazikuwa na sifa ya kuuzwa nchini.
Kwa kusoma habari yote ingia:http://www.mwananchi.co.tz/



No comments:

Post a Comment

PALM TREES ARE BEAUTIFUL

Minazi huleta mandhari nzuri ya kuvutia, haijalishi ni sehemu gani imemea. Palm trees are always beautiful, it doesn´t matter where they are...