Sunday, 26 October 2014
MANUKATO NILIYOWAHI KUTUMIA/NINAYOTUMIA
Perfume ni moja kati ya vitu ninavyovipenda sana.Kutokana na mapenzi yangu kwa perfume huwa ninapenda kujaribu perfumes za aina tofauti.Kwa kufanya hivi hupata harufu ambazo ninapenda au tuseme zinaendana na mimi.Kwani perfume inaweza ikawa nzuri kwako na isiwe hivyo kwangu.Nina baadhi ya perfumes ambazo nimenunua katika kujaribu kwangu ambazo ni kama zifuatazo;

Subscribe to:
Post Comments (Atom)
PALM TREES ARE BEAUTIFUL
Minazi huleta mandhari nzuri ya kuvutia, haijalishi ni sehemu gani imemea. Palm trees are always beautiful, it doesn´t matter where they are...

-
Dar es Salaam: Mwekezaji Sheikh Salim Abdullah ametangaza kuwekeza kwenye Uwanja Wa Ndege wa Kimataifa wa JK Nyerere Dar es Salaam (JN...
-
1. PASTA Hiki ni chakula cha haraka.Unaweza kutayarisha pasta kwa kuongeza tu protini ulizonazo katika jokofu lako mfano kuku...
No comments:
Post a Comment