Tuesday 31 December 2013
JAMAA APANDA JUU YA MNARA WA SIMU UBUNGO JIJINI DAR LEO NA KUGOMA KUSHUKA MPAKA AONANE NA RAISI KIKWETE
Askari wa Kikosi cha Zima moto na Uokoaji Wakiwa wamepanda juu ya Mnara wa Simu Uliopo Ubungo Jijini Dar Es Salaam Muda mfupi uliopita kwaajili ya kumuokoa kijana mmoja aliyefahamika kwa jina moja la Hassan Ambaye alipanda juu ya mnara huo kwa lengo la kufikisha Ujumbe wa kutaka kuonana na Raisi Kikwete ili aweze kumwelezea kwa kile anachodai kuwa jeshi la polisi lilimbambikia kesi na hatimaye kuhukumiwa kifungo cha Miaka 6 kwenda jela.
Askari wa Kikosi cha Zimamoto na Uokoaji wakiendelea na zoezi la kumuokoa Kijana Hassan kwaajili ya kutojirusha kutoka Juu ya Mnara wa Simu Muda mfupi uliopita Ubungo Jijini Dar Es Salaam Leo
RAIS KIKWETE AMWAPISHA IGP MPYA NA NAIBU WAKE LEO IKULU
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimwapisha Inspekta Generali wa Polisi (IGP) mpya Afande Ernest Mangu katika viwanja vya Ikulu jijini Dar es salaam jioni hii.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimpatia nyenzo za kazi baada ya kumuapisha Naibu Inspekta Generali wa Polisi (IGP) mpya Afande Abdulrahman Kaniki katika viwanja vya Ikulu jijini Dar es salaam jioni hii.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na IGP mpya Afande Ernest Mangu, Naibu Inspekta Generali wa Polisi (IGP) mpya Afande Abdulrahman Kaniki katika viwanja vya Ikulu jijini Dar es salaam jioni hii.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimpatia nyenzo za kazi baada ya kumuapisha Naibu Inspekta Generali wa Polisi (IGP) mpya Afande Abdulrahman Kaniki katika viwanja vya Ikulu jijini Dar es salaam jioni hii.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na IGP mpya Afande Ernest Mangu, Naibu Inspekta Generali wa Polisi (IGP) mpya Afande Abdulrahman Kaniki katika viwanja vya Ikulu jijini Dar es salaam jioni hii.
HAPPY NEW YEAR WADAU WOTE WA RAINBOW-TZ BLOG!!!!!!!
Tunapoelekea katika kuumaliza mwaka 2013 baadae leo, rainbow-tz blog inawatakia wote heri ya mwaka 2014. Tafakari yale yote mema na mabaya uliyoyafanya mwaka huu ili uweze kuuanza mwaka mpya ukiwa mpya! HAPPY NEW YEAR 2014 KWENU WOTE!! |
Wafanyabiashara Mwanza wafunga maduka kupinga mashine za EFDs
Wafanyabiashara wa maduka Jijini Mwanza wakiingia mtaani wakipinga kupinga matumizi ya Mashine za Kielektroniki za kutolea Risiti (EFDs)
Wafanyabiashara wa maduka ya jumla na rejareja katikati ya Jiji la Mwanza, wamefanya mgomo wakipinga kupinga matumizi ya Mashine za Kielektroniki za kutolea Risiti (EFDs), ambazo hutolewa na Mamlaka ya Mapato nchini (TRA).
Mgomo huo ambao ulianza saa 1:30 asubuhi, ulishika kasi katika barabara za Nyerere na Kenyatta kuelekea eneo la Makoroboi linalozunguka soko kuu, katikati ya jiji hilo, huku ukisababisha usumbufu mkubwa kwa wateja , wananchi wa kawaida pamoja na uongozi wa serikali ya mkoa huo.
Mgomo huo ambao ulianza saa 1:30 asubuhi, ulishika kasi katika barabara za Nyerere na Kenyatta kuelekea eneo la Makoroboi linalozunguka soko kuu, katikati ya jiji hilo, huku ukisababisha usumbufu mkubwa kwa wateja , wananchi wa kawaida pamoja na uongozi wa serikali ya mkoa huo.
Kibamba: Hatutakubali Bunge la Katiba kutoonyeshwa live
Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba, Deus Kibamba
Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba, Deus Kibamba, ametahadharisha kuwa hawatakubaliana na mpango unaosukwa wa kutaka Bunge Maalum lisionyeshwe moja kwa moja.
Kauli hiyo aliitoa jana mjini hapa katika mkutano wa kuchagua wawakilishi wa Asasi zisizo za kiserikali ili majina yao yapelekwe kwa Rais kwa ajili ya kuyateua kushiriki kwenye Bunge Maalum la Katiba linalotarajia kufanyika Februari mwakani.
Jk: Bunge, wananchi wataamua Katiba
Rais Jakaya Kikwete amesema hatua inayofuata baada ya kukamilika kwa Rasimu ya Katiba ni maamuzi ya wananchi na Bunge la katiba ambayo yataifanya ipitishwe na kuwa Katiba kamili.
Kadhalika, Rais Kikwete alisema katika maamuzi hayo, viongozi wa kijamii na siasa wana nafasi kubwa ya kuhakikisha mchakato wa Katiba mpya unafanikiwa kwa kukwepa maslahi ya vyama vyao na makundi wanayotokea na kinyume chake Katiba ya sasa itaendele kutumika.
Monday 30 December 2013
TOP 12 HOTTEST TANZANIAN ACTORS IN 2013
1. TINO
This year this vesertile actor performed well in movies like Mimi Na Mungu wangu and Kisate. Tino is one of great actors in our industry.
2. HASHIM KAMBI
Kambi appears mainly in supporting roles although sometimes he plays lead characters, and in those movies with strong supporting roles heroes and heroine get hard times from King Kambi in terms of performances. This year the actor crossed borders and starred in a Ghananian movie "Day After Death" with Van Vicker and John Dumelo. He will be seen again with Van Vicker in a Tanzanian movie in 2014. This year King Kambi looked fresh in movies like Fisadais, Foolish Age, Boss Tony. In short Kambi is one of Tanzanian actors who can essay Hollywood roles.
This year this vesertile actor performed well in movies like Mimi Na Mungu wangu and Kisate. Tino is one of great actors in our industry.
2. HASHIM KAMBI
Kambi appears mainly in supporting roles although sometimes he plays lead characters, and in those movies with strong supporting roles heroes and heroine get hard times from King Kambi in terms of performances. This year the actor crossed borders and starred in a Ghananian movie "Day After Death" with Van Vicker and John Dumelo. He will be seen again with Van Vicker in a Tanzanian movie in 2014. This year King Kambi looked fresh in movies like Fisadais, Foolish Age, Boss Tony. In short Kambi is one of Tanzanian actors who can essay Hollywood roles.
DUNIANI KUNA MAMBO: SHABIKI WA CHELSEA ALIYEISHI KWENYE HANDAKI MIAKA MINNE JIJINI DAR
• Yanga, Simba zamvutia lakini ashindwa kuchagua aipende ipi
• Asisitiza kama vipi, bora ziwe zinatoka sare kila mechi
• Asisitiza kama vipi, bora ziwe zinatoka sare kila mechi
Chacha Makenge (36), ameishi katika handaki lililo katika eneo la Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kwa miaka minne.
UNIA ina maajabu yake ndiyo maana wakasema, “tembea uone”. Katikati ya Jiji la Dar es Salaam, binadamu ameamua kuishi ndani ya handaki kwa miaka minne.
BREAKING NEWS: RAIS JAKAYA KIKWETE AMTEUA KAMANDA ERNEST MANGU KUWA MKUU MPYA WA JESHI LA POLISI TANZANIA
Mkuu mpya wa jeshi la polisi Tanzania,Kamanda Ernest Mangu pichani
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Kikwete amemteua kamanda Ernest Mangu kuwa mkuu mpya wa jeshi la polisi Tanzania. Kamanda Mangu anachukua nafasi ya Inspekta jenerali Said Mwema ambaye anastaafu.
Uteuzi wa kamanda Mangu unaanzia januari 1 2014.
CHANZO: ITV
RAIS KIKWETE, DK SHEIN WAKABIDHIWA RASIMU YA PILI YA KATIBA MPYA
Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Warioba akimkabidhi Rais Jakaya Kikwete (kulia) Rasimu ya Pili ya Katiba Mpya leo.
Jaji Warioba akimkabidhi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.AliMohamed Shein (kushoto) Rasimu ya Pili ya Katiba Mpya leo.
Rais Jakaya Kikwete (kulia) akiteta jambo na Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Warioba.
Jukwaa la Katiba lampongeza JK
Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba, Deus Kibamba
Jukwaa la Katiba Tanzania limempongeza Rais Jakaya Kikwete na Tume ya Mabadiliko ya Katiba kwa kuamua kufanya makabidhiano ya rasimu ya pili ya katiba hadharani.
Akizungumza na NIPASHE jana kwa njia ya simu akiwa mjini Dodoma, Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba, Deus Kibamba, alisema:
Wanaotumia vibaya laini za simu waanza kusakwa Dar
Twitter na Facebook
Hatimaye, Jeshi la Polisi nchini, limeanzisha operesheni maalumu ya kuwabaini na kisha kuwachukulia hatua za kisheria wale wote wanaotumia vibaya mitandao ya kijamii kama vile Twitter, Facebook pamoja na laini za simu.
Jeshi la Polisi limeamaua kuchukua hatua hiyo baada ya kuona teknolojia hizo zinatumiwa vibaya na watumiaji ikiwa ni pamoja na kuhamasisha vitendo vya uvunjifu wa amani ya nchi, kutishia usalama wa maisha ya watu na kutengeneza njama ovu za matukio ya kijambazi.
Sunday 29 December 2013
WASTARA NA WAIGIZAJI WENGINE WA FILAMU WAMSOMEA DUA MAREHEMU SAJUKI
Msanii wa filamu Wastara leo ameungana na wadau mbalimbali wa filamu makaburini Kisutu jijini Dar es Salaam kusoma dua kwaajli ya marehemu mume wake, Juma Kilowoko aliyekuwa maarufu kwa jina Sajuki.
Hata hivyo Wastara alisema baada ya shughuli ya leo(jana), dua rasmi ya marehemu Sajuki itafanyikia nyumbani kwao Songea, January 2, 2014.
Mzee Chilo akiwa na Wastara |
Wasanii wa filamu na wadau mbalimbali walijumuika. |
Polisi yanasa meno ya tembo ya 25m/= kwenye treni
Kaimu kamanda wa kikosi cha polisi cha Tazara, (SSP) Inocent Mgaya (katikati) akiwa na OCD wa kituo hicho SP, Bakari Makuka (kushoto) na SP, Shaaban Hussein wakionesha meno ya tembo
Meno ya tembo yenye thamani ya Sh. milioni 25.5 yamekamatwa ndani ya treni ya Tazara katika stesheni ya Kisaki, Wilaya ya Morogoro Vijijini, yakisafirishwa kuelekea jijini Dar es Salaam.
Wazaramo: Kabila lenye sherehe lukuki, usipochangia, kushiriki unatengwa
watoto wakipongezwa na wazazi baada ya kutoka jandoni katika mkoa wa pwani. Picha ya Maktaba
Tanzania ni nchi iliyojaliwa kuwa na makabila zaidi ya 120, yaliyounganishwa na lugha moja ya taifa ambayo ni Kiswahili. Miongoni mwa makabila hayo ya Tanzania, limo Kabila la Wazaramo, ambalo linapatikana katika mikoa ya Pwani na Dar es Salaam.
Wazaramo wametapakaa katika Wilaya za Kisarawe, Bagamoyo, Kibaha, Mkuranga na Mafia. Jijini Dar es Salaam, wengi wanaishi katika maeneo ya Buguruni, Magomeni, Ilala, Kariakoo na Msasani.
Saturday 28 December 2013
BURUDANI YA LEO:C INDERELLA NA LIONEL RICHIE!
CINDERELLA
As I was walking down a
path in the woods one day I
came across a vision that caught my eye
There was a lady standing
right there beside a well, and I heard her whisper
what you wish for you can have
path in the woods one day I
came across a vision that caught my eye
There was a lady standing
right there beside a well, and I heard her whisper
what you wish for you can have
Subscribe to:
Posts (Atom)
PALM TREES ARE BEAUTIFUL
Minazi huleta mandhari nzuri ya kuvutia, haijalishi ni sehemu gani imemea. Palm trees are always beautiful, it doesn´t matter where they are...
-
Dar es Salaam: Mwekezaji Sheikh Salim Abdullah ametangaza kuwekeza kwenye Uwanja Wa Ndege wa Kimataifa wa JK Nyerere Dar es Salaam (JN...