Showing posts with label AJIRA. Show all posts
Showing posts with label AJIRA. Show all posts

Sunday, 25 August 2013

Orodha ya majina ya waliochaguliwa kufanya usaili wa kujiunga na Jeshi la Polisi



Jeshi la Polisi Tanzania limetoa majina na ratiba ya usaili kwa vijana waliomaliza kidato cha nne mwaka 2012 na waliomaliza kidato cha sita mwaka 2013 ambao wamechaguliwa kufanya usaili kabla ya  kujiunga na Jeshi la Polisi.

Muhimu:

  • Mwombaji anaruhusiwa kufanya usaili kwenye kituo chochote cha usaili kilicho karibu naye kulingana na tarehe zinavyoonesha kwenye jedwali hapo  juu ili mradi tu awe amejiridhisha kuwa ni miongoni mwa walioitwa kwenye usaili. Jeshi la Polisi halitahusika na lawama yoyote ile kwa mtu atakayekwenda kwenye kituo cha usaili hali ambapo jina lake si miongoni mwa walioitwa kufanya usaili.
  • Mwombaji aliyeitwa kwenye usaili aje na vyeti vyake vyote vya masomo [(Academic Certificate(s)/Results slip(s) & Leaving certificate(s)], nakala halisi ya cheti cha kuzaliwa (Original Birth certificate). Hati ya kiapo cha kuzaliwa haitakubalika.
  • Mwombaji  awe na namba ya simu itakayotumika kumjulisha endapo atachaguliwa..
  • Kila mwombaji aliyeitwa kwenye usaili atajigharamia usafiri, chakula na malazi kwa muda wote wa zoezi la usaili. Pia waombaji waje na kalamu za wino kwa ajili ya usaili wa kuandika.

Ni muhimu sana kwa kila mwombaji kuzingatia muda wa kuanza usaili.




Thursday, 22 August 2013

Friday, 19 July 2013

TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII

THE UNITED REPUBLIC OF TANANIA
MINISTRY OF HEALTH AND SOCIAL WELFARE
1aa4396d4fL
CALL FOR INTERVIEW
Ministry of Health and Social Welfare is hereby announcing the names of applicants who have been selected to appear for an interview for the post of laboratory technologist. The interview will be conducted at National Blood Transfusion Services (NTBS) head office at Ilala-Mchikichini opposite Msimbazi Centre on 27th July, 2013 starting from 9.00 am.
The interviewees should appear with all Academic and professional credentials (original certificates).
The cost regarding to travel, accommodation and meals should be incurred by the candidates themselves.
S/NONAMESEXTELEPHONE NUMBER
1MAYALLA WILLIAMMTEL 0712 063564/ 0786 015066
2MATHAYO MBUYAMTEL 0768 229280/ 0656 264844
3HASSAN O. MBEGAMTEL 0756 877175/ 0787 877175
4DAVID ENOCKMTEL 0762 742232
5TOGOLANI G. MAYAFTEL 0714 640074
6SUZANA D. MBOTOFTEL 0787 576771
7SHABANI R. MZIRAYMTEL 0754 942946/ 0713 992143
8HUSSEIN ATHUMANMTEL 0655 866606
ACTING PERMANENT SECRETARY
MINISTRY OF HEALTH AND SOCIAL WELFARE
P.O.BOX 9083
DAR ES SALAAM

PALM TREES ARE BEAUTIFUL

Minazi huleta mandhari nzuri ya kuvutia, haijalishi ni sehemu gani imemea. Palm trees are always beautiful, it doesn´t matter where they are...